Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

#1

Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco na Klabu ya PSG ya Ufaransa Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF.

Hakimi amewashinda Mohamed Salah wa Liverpool/Misri na Victor Osimhen wa Galatassaray ya Uturuki na timu ya Taifa ya Nigeria.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code