Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco na Klabu ya PSG ya Ufaransa Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF.

Hakimi amewashinda Mohamed Salah wa Liverpool/Misri na Victor Osimhen wa Galatassaray ya Uturuki na timu ya Taifa ya Nigeria.

...See more

Related Discussions...

WEKA COMMENT HAPA(Reply)

Karibu Afyaclass Bongo Social,Share mawazo yako hapa au chochote kuhusiana na Makala husika,Karibu Sana Mdau Wetu Muhimu.