Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

#1

Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF

Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco na Klabu ya PSG ya Ufaransa Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF.

Hakimi amewashinda Mohamed Salah wa Liverpool/Misri na Victor Osimhen wa Galatassaray ya Uturuki na timu ya Taifa ya Nigeria.

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code