Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF
Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco na Klabu ya PSG ya Ufaransa Achraf Hakimi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika katika tuzo za CAF.
Hakimi amewashinda Mohamed Salah wa Liverpool/Misri na Victor Osimhen wa Galatassaray ya Uturuki na timu ya Taifa ya Nigeria.
...See more

.jpeg)



Post a Comment
Karibu Afyaclass Bongo Social,Share mawazo yako hapa au chochote kuhusiana na Makala husika,Karibu Sana Mdau Wetu Muhimu.