Nyota wa Bollywood Dharmendra 'He-Man' afariki akiwa na umri wa miaka 89

Nyota wa Bollywood Dharmendra 'He-Man' afariki akiwa na umri wa miaka 89

#1

Watu walitokea kumpenda na kumuamini sana Dharmendra,upendo huo wa kipekee aliupata kutoka kwa mamilioni ya mashabiki Zake.

Mwigizaji huyo alitoa filamu maarufu na za kusisimua.

Dharmendra mara nyingi alisema 'aliona aibu' kuzungumzia sura yake/BBC

Nyota huyo wa Bollywood Dharmendra amefariki katika jiji la Mumbai nchini India akiwa na umri wa miaka 89.

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alitoa heshima kwa mwigizaji huyo, akisema kifo chake "kinaashiria mwisho wa enzi katika sinema za India".

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code