Je,Dalili ya Kwanza ya HIV ni Mafua?

Je,Dalili ya Kwanza ya HIV ni Mafua?

#1

Watu wengi wanaoambukizwa HIV hupata dalili ndani ya wiki 2–6 baada ya kuambukizwa, lakini sio wote hupata “mafua” au dalili zozote.

Hali zinavyoweza kuwa:

1.Wengine hupata dalili kama za mafua: homa, maumivu ya kichwa, koo kuuma, uchovu, au tezi kuvimba.

2.Wengine hupata dalili tofauti kama: upele wa ngozi, kuharisha, jasho la usiku, au vidonda mdomoni.

3.Wengine hawapati dalili kabisa kwa miezi au hata miaka......!!!!

Soma hapa Zaidi Dalili Zote za Mwanzo za HIV:

https://www.afyaclass.com/2024/09/dalili-za-ukimwi-jinsi-ya-kugundua-na.html?m=1

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code