Klabu ya Simba kuelekea nchini Mali kukipiga dhidi ya Stade Malien

Klabu ya Simba kuelekea nchini Mali kukipiga dhidi ya Stade Malien

#1

Klabu ya Simba kuelekea nchini Mali kukipiga dhidi ya Stade Malien

Klabu ya Simba inatarajiwa kuanza safari yake alfajiri ya Alhamisi, Novemba 27, kuelekea nchini Mali kwa ajili ya mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien.

Wekundu wa Msimbazi watamenyana na wenyeji Stade Malien mnamo Novemba 30, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, mchezo ambao utapigwa majira ya saa 1 usiku.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code