Samsung Yaipita Iphone kama kampuni Bora ya Simu Duniani

Samsung Yaipita Iphone kama kampuni Bora ya Simu Duniani

#1

Samsung Yaipita Iphone kama kampuni Bora ya Simu Duniani

Ingawa watu wengi wanabishana kuhusu Ubora, na muundo wa simu hasa kamera kati ya kampuni hizi mbili, lakini imeripotiwa Samsung imeuza simu nyingi zaidi kuliko simu za Iphone za kampuni ya Apple

Katika matoleo ya hivi majuzi Samsung iliuza karibu simu Milioni 62 huku Apple ikiuza zaidi ya Simu Milioni 60, Pengo hilo Limetafsiriwa katika takriban asilimia 21 ya uuzaji wa kimataifa wa Samsung dhidi ya asilimia 17 kwa Apple.


Ni ipi kampuni yako bora hapa ??😂

________________________________

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code