Samsung Yaipita Iphone kama kampuni Bora ya Simu Duniani
Ingawa watu wengi wanabishana kuhusu Ubora, na muundo wa simu hasa kamera kati ya kampuni hizi mbili, lakini imeripotiwa Samsung imeuza simu nyingi zaidi kuliko simu za Iphone za kampuni ya Apple
Katika matoleo ya hivi majuzi Samsung iliuza karibu simu Milioni 62 huku Apple ikiuza zaidi ya Simu Milioni 60, Pengo hilo Limetafsiriwa katika takriban asilimia 21 ya uuzaji wa kimataifa wa Samsung dhidi ya asilimia 17 kwa Apple.
Ni ipi kampuni yako bora hapa ??😂
________________________________









image quote pre code