Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?

Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?

#1

Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?



Kukojoa mara kwa mara kunaweza kuwa ishara ya figo kushindwa kufanya kazi vizuri. Ingawa sio kila kukojoa mara kwa mara ni figo.

Mkojo wenye povu kama ishara ya tatizo la Figo.

Hii inaweza kuashiria uwepo wa protini nyingi kwenye mkojo (proteinuria), dalili ya figo kushindwa kuchuja damu vizuri.

Soma Zaidi hapa;Ishara na Dalili za Tatizo la Figo:https://www.afyaclass.com/2025/08/tumia-njia-hizi-kugundua-ugonjwa-wa.html

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code