Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?

Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?

#1

Je,Kukojoa Mkojo wenye Povu ni Ishara ya tatizo la Figo?



Kukojoa mara kwa mara kunaweza kuwa ishara ya figo kushindwa kufanya kazi vizuri. Ingawa sio kila kukojoa mara kwa mara ni figo.

Mkojo wenye povu kama ishara ya tatizo la Figo.

Hii inaweza kuashiria uwepo wa protini nyingi kwenye mkojo (proteinuria), dalili ya figo kushindwa kuchuja damu vizuri.

Soma Zaidi hapa;Ishara na Dalili za Tatizo la Figo:https://www.afyaclass.com/2025/08/tumia-njia-hizi-kugundua-ugonjwa-wa.html

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code